Leo tar 14.02.2023 Mkoa wa Manyara umepata fursa ya kutembelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Komrade Mohammed Ali Kawaida, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kuwatembelea viongozi wakuu wastaafu wa UVCCM Taifa.
More Stories
CCM Kilindi walilia fedha kukamilisha miradi ya maji
Watumishi CBE wahimizwa kuishi kwa upendo
Prof.Muhongo awakaribisha wadau kuchangia ujenzi maabara masomo ya Sayansi