Leo tar 14.02.2023 Mkoa wa Manyara umepata fursa ya kutembelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Komrade Mohammed Ali Kawaida, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kuwatembelea viongozi wakuu wastaafu wa UVCCM Taifa.
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Komrade Mohammed Ali Kawaida akizungumza na Aliyekua Mwenyekiti wa Uvccm kipindi kilichopita Kheri James na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kuwatembelea viongozi wakuu wastaafu wa UVCCM Taifa, Picha na Mary MargweMwenyekiti wa UVCCM Taifa na mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Komrade Mohammed Ali Kawaida akiwa na Mwenyekiti wa Uvccm Mji wa Babati, Mkoani Manyara Magdalena Urono, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kuwatembelea viongozi wakuu wastaafu wa UVCCM Taifa, Picha na Mary Margwe
More Stories
Simbachawene:Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji Rasilimaliwatu umebaini upungufu wa watumishi 441,366
Wakazi Arusha watakiwa kuchangamkia fursa huduma jumuishi za kifedha
Wahitimu wa Mafunzo ya Scout Nkasi watakiwa kuwa mwangaza kwa vijana