Leo tar 14.02.2023 Mkoa wa Manyara umepata fursa ya kutembelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Komrade Mohammed Ali Kawaida, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kuwatembelea viongozi wakuu wastaafu wa UVCCM Taifa.
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Komrade Mohammed Ali Kawaida akizungumza na Aliyekua Mwenyekiti wa Uvccm kipindi kilichopita Kheri James na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kuwatembelea viongozi wakuu wastaafu wa UVCCM Taifa, Picha na Mary MargweMwenyekiti wa UVCCM Taifa na mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Komrade Mohammed Ali Kawaida akiwa na Mwenyekiti wa Uvccm Mji wa Babati, Mkoani Manyara Magdalena Urono, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kuwatembelea viongozi wakuu wastaafu wa UVCCM Taifa, Picha na Mary Margwe
More Stories
Benki ya NMB yatenga Bil. 100/-za nishati safi kwa wajasiriamali
Bussungu,Khatibu kupeperusha bendera ya ADA-TADEA uchaguzi Mkuu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Johari ameungana na Viongozi mbalimbali nchini kushiriki kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Hayati Cleopa Msuya