Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Christian Makonda, amemtembelea aliyekuwa Mkuu wa Majesho ya Ulinzi na Usalama Nchini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA), Jenerali Venance Mabeyo, nyumbani kwake Dar es salaam leo tarehe 26 Novemba, 2023.



More Stories
Fedha za Mfuko wa Jimbo ziingizwe kwenye mfumo wa NeST
Dkt.Biteko awataka wanawake kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
Biteko: Afrika tunayapa kipaumbele matumizi Nishati Safi kukabiliana mabadiliko ya Tabia nchi