March 8, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Mwenda ajitosa kuwania Ubunge Jimbo la Kawe

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Aliyekua Mfanyakazi Umoja wa Mataifa Tanzania, Comoro Mwenda ajitosa rasmi kuwania Ubunge Jimbo la Kawe.

Mwenda ana uzoefu zaidi ya miaka 17 kwenye sekta ya afya, elimu, mazingira ukuzaji ujuzi kwa vijana, ustawi uchumi kina mama na makundi ya wenye ulemavu.