
Muonekano wa Kituo cha kupokea Kupoza na kusambaza Umeme kilichohengwa wilayani kilombero Ifakara kinatarajiwa kuzinduliwa Mei 31 na Dkt. Doto Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati pamoja na Mhe. Christine Grau, Balozi wa Umoja wa Ulaya.
Kituo hicho kimejengwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa ufadhili wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) ambapo kukamilika kwake kumefanikisha Wilaya ya Kilombero, Ulanga na Malinyi kuwa na umeme wa uhakika.

More Stories
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ta wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi
Aida:Wanawake wakipata haki zote itapunguza migogoro