Na Mwandishi Wetu
KIKAO cha Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea vizuri kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Kuanza kwa kikao hicho ni hatua ya kwanza ya mchakato wa kumtafuta mgombea urais atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba, mwaka huu.


Kesho Agosti 3, kitafanyika kikao cha Baraza Kuu mkutano ambao utahudhuriwa na wajumbe 600 na keshokutwa Agosti 4, ni Mkutano Mkuu ambao wajumbe wake ni 1,500.

More Stories
Wananchi Wahimizwa Kutafuta Ushauri wa Kisaikolojia kwa Wataalamu
Kihongosi amuita Msigwa Kanjanja wa Siasa
TBS YAJIPANGA KIDIGITALI, YAIMARISHA MAABARA KWA SOKO LA DUNIA