Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari akiwa pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Uchukuzi wakifuatilia uwasilishwaji wa hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya ya Uchukuzi kwa mwaka 2024/2025 inayowasilishwa na Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, Bungeni, Dodoma.
More Stories
Mke wa Rais wa Finland atembelea Makumbusho ya Taifa
Lulida ataka viwanda vilivyofungwa vifufuliweÂ
WMA yahakiki vipimo asilimia 99 ya lengo