Wanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Bugando ambayo ni shule ya sekondari ya pili ya Serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita baada ya Shule ya Kamena, ambayo ni maalum kwa wasichana, wakiwa maabara. Shule zote mbili zimejengwa kwa ufadhiliwa wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia Mfuko wa Uwajibikaji wa Jamii.Picha inaonyesha wanafunzi wa kidato cha tano kutoka shule ya sekodanri Bugando wakitunza mazingira yao kwa kupanda miti kwenye uwanja wa shule. Shule hiyo imejengwa kwa ufadhiliwa wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia Mfuko wa Uwajibikaji wa Jamii.
More Stories
Mtoto mchanga, aliyedaiwa kuibwa apatikana akiwa hai
Airtel Afrika yateua Publics Groupe Africa kuwa mbia wake katika masoko 12 Barani Afrika
Watu wanne mbaroni kwa tuhuma za wizi wa vifaa vya mradi Miji 28