Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
Mashabiki wa Simba, tayari wamejitokeza kwa wingi
ndani na nje ya Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar
es Salaam kwa ajili ya sherehe za SimbaDay mwaka huu.
Tiketi zote za Tamasha hili zimekwisha hii leo.
Pamoja na Burudani za Muziki kutoka kwa Wasanii
Mbalimbali, Pia Mashabiki watawaona wachezaji wao
wapya watakapo kuwa dimbani kukipiga dhidi ya
Mabingwa mara tano wa Afrika, TP Mazembe kutoka DR
Congo.
More Stories
Kasulu FC mabingwa mashindano Khimji 2025
Fainali Khimji cup kufanyika Februari 7,2025
Naibu Waziri wa Fedha abariki ujio mpya wa Bahati Nasibu