Na Mwandishi wetu timesmajira
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman, leo Jumatatu Machi 25, 2024, ameendelea na ziara Maalum ya kuwatembelea na kuwajulia-hali, Wagonjwa na Wazee mbali mbali wasiojiweza.

Katika ziara hiyo pia ametoa mkono wa pole kwa Wafiwa wa maeneo mbali mbali ya Mkoa wa Mjini Unguja Kichama.



More Stories
Yas yazidi kuboresha huduma sekta ya Utalii
ZOLA yajipanga kupeleka Nishati Safi kwa Watanzania, yaunga Mkono Juhudi za Rais Samia
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi