Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muleba Ndugu Elias Mhwago Kayandabila (katikati) akiwa kwenye mazungumzo na Viongozi wa benki ya NMB tawi la Muleba mara baada ya kukabidhiwa zawadi maalum iliyoandaliwa na benki ya hiyo.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muleba Ndugu Elias Mhwago Kayandabila akikabidhiwa zawadi maalum iliyoandaliwa na benki ya NMB na Meneja Lukanga Makusu (kushoto) wa Tawi la NMB Muleba
More Stories
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Naibu Waziri Nderiananga awasilisha salamu za pole msiba wa mdogo wake Lukuvi
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni