Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muleba Ndugu Elias Mhwago Kayandabila (katikati) akiwa kwenye mazungumzo na Viongozi wa benki ya NMB tawi la Muleba mara baada ya kukabidhiwa zawadi maalum iliyoandaliwa na benki ya hiyo.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muleba Ndugu Elias Mhwago Kayandabila akikabidhiwa zawadi maalum iliyoandaliwa na benki ya NMB na Meneja Lukanga Makusu (kushoto) wa Tawi la NMB Muleba
More Stories
Kikao Mawaziri EAC,SADC kuleta matokeo chanya Congo
Kilosa waanza kuonja asali ya hewa ukaa
Maadhimisho siku ya Kimataifa ya Wanawake na wasichana katika sayansi kufanyika Dodoma