Na Mwandishi wetu, TimesMajiraOnline

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Kassim Majaliwa Majaliwa.

Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 18 Januari, 2022 katika Ofisi za CCM Makao Makuu Jijini Dodoma.
More Stories
CCM kufanya mkutano mkuu maalumu Mei 29-30,2025
Nsekela aeleza mafanikio miaka 30 Benki ya CRDB
Mhandisi Samamba ahimiza uaminifu kwa watoa huduma migodini