Na Mwandishi wetu, TimesMajiraOnline
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2022/01/WhatsApp-Image-2022-01-18-at-4.23.22-PM-1024x574.jpeg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Kassim Majaliwa Majaliwa.
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2022/01/WhatsApp-Image-2022-01-18-at-4.22.09-PM-1-1024x574.jpeg)
Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 18 Januari, 2022 katika Ofisi za CCM Makao Makuu Jijini Dodoma.
More Stories
PPP kuibua miradi ndani ya Mikoa 12
Mitambo ya uchorongaji yawawezesha wachimbaji kupata taarifa za kina
Kituo cha mfano Katente chaongeza makusanyo MBOGWE