
Wananchi wa Nzega mkoani Tabora wakimsubiri Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Magufuli ili kumsikiliza akinadi sera za Chama hicho katika Kampeni za Uchaguzi wa madiwani ,wabunge na urais katika viwanja vya parking Nzega.
Bendi ya T.O.T ikitumbuiza katika Viwanja vya Parking Nzega wakimsubiri Mgombea Urais wa CCM, Dkt.John Magufuli, mkoani Tabora
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi wa wilaya ya Nzega wakicheza taarabu katika viwanja vya Nzega mjini kabla ya kufanyika kwa mkutano wa kampeni utakaohutubiwa na Mgombea wa Urais CCM, Dkt. John Magufuli leo
More Stories
Saratani haitibiwi kwa dawa peke yake – Besta
Serikali kupeleka Mwalimu wa Kilimo Masoka sekondari
Serikali inavyoimarisha mifumo ya kisheria nchini