Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda Agosti 14. 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mamlaka ya Forodha ya Jamhuri ya Watu wa China, Yu Jianhua aliyetembelea katika ofisi yake, jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo hayo yaliambatana na utiaji saini wa makubaliano ya kukuza uhusiano baina ya Tanzania na China katika masuala ya Forodha.




More Stories
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ta wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi
Aida:Wanawake wakipata haki zote itapunguza migogoro