Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda Agosti 14. 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mamlaka ya Forodha ya Jamhuri ya Watu wa China, Yu Jianhua aliyetembelea katika ofisi yake, jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo hayo yaliambatana na utiaji saini wa makubaliano ya kukuza uhusiano baina ya Tanzania na China katika masuala ya Forodha.
More Stories
Waislamu wamuombea dua Rais Samia,wasisitiza umoja
Samia: Serikali imejifunza somo kuporomoka ghorofa
Wanachama CCM Kata ya Rujewa wajitokeza kufanya usafi kituo cha afya