Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hasabu za Serikali za Mitaa baada ya kukagua ujenzi wa jengo la Makao makuu ya Halmashauri ya Msalala ,wilayani Kahama.Makamu mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hasabu za Serikali za Mitaa ,Selaman Zedi akiongea n waandashi habari baada ya kamati kumaliza kukagua miradi ya ujenzi wa majengo ya makao makuu ya halmashauri ya Msalala na hospitali ya kuu ya halmashauri hiyo kulia ni mkuu wa mkoa wa Shinyanga ,Sophia Mjema na kulia ni Mjumbe wa Kamati Rashid Shangazi mbunge wa Mlalo.
More Stories
Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Addis Ababa nchini Nigeria
Serikali ipo kwenye maandalizi ya TASAF III,ambao hawajainuka kiuchumi TASAF II kupewa kipaumbele
DC Kilindi ataka jitihada ziongezwe makusanyo mapato ya ndani