Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji (Rufani), Mhe. Jacobs Mwambegele akizungumza katika Mkutano wa Tume na Wawakilishi wa Watu wenye Ulemavu, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, Julai 31, 2025. Picha na INEC.
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima akiwasilisha mada ya Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, katika Mkutano wa Tume na Wawakilishi wa Watu wenye Ulemavu, uliofanyika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, Julai 31, 2025.






More Stories
Alhaj Othman atoa wito wa malezi bora kukenga jamii salama
Muswada wa Sheria ya Mikopo wawasilishwa bungeni
Wasanii wahimizwa kuwa mabalozi wa utunzaji wa fedha