Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Makamu wa Rais amewasili nchini Uganda ambapo anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa.



More Stories
Wazee wawili jela maisha kwa kubaka na kulawiti
Dkt.Biteko aongoza waombolezaji mazishi ya Mkurugenzi Mtendaji TANESCO
Nyongo: Sekta binafsi ina mchango mkubwa kwa taifa