Na Joyce Kasiki,timesmajira online ,Dodoma
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa jimbo Dodoma Mjini mwaka 2010-2015,Dkt.David Malole amechukua fomu tena akiombaridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),kugombea tena nafasi hiyo.

Dkt.Malole ameomba nafasi hiyo kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo.

More Stories
Tucta kuzindua kituo cha msaada kwa wafanyakazi wahamiaji Juni 11
Wanasiasa washauriwa kujikita kwenye masuala ya maendeleo
Watakiwa kuimarisha huduma za ushauri vyuoni