Na Joyce Kasiki,timesmajira online ,Dodoma
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa jimbo Dodoma Mjini mwaka 2010-2015,Dkt.David Malole amechukua fomu tena akiombaridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),kugombea tena nafasi hiyo.

Dkt.Malole ameomba nafasi hiyo kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo.

More Stories
Ubunifu wawekwa mbele katika mpango mpya wa Taifa
Ubunifu mwanafunzi UDOM kusaidia Walimu kazini
Sendiga:Wataalamu wekeni maslahi ya Wananchi mbele