Na Joyce Kasiki,timesmajira online ,Dodoma
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa jimbo Dodoma Mjini mwaka 2010-2015,Dkt.David Malole amechukua fomu tena akiombaridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),kugombea tena nafasi hiyo.

Dkt.Malole ameomba nafasi hiyo kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo.

More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8