Na Joyce Kasiki,timesmajira online ,Dodoma
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa jimbo Dodoma Mjini mwaka 2010-2015,Dkt.David Malole amechukua fomu tena akiombaridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),kugombea tena nafasi hiyo.

Dkt.Malole ameomba nafasi hiyo kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo.
More Stories
Dkt.Biteko ataja mafanikio ya programu jumuishi ya maleziÂ
Mchengerwa afurahishwa na utendaji wa Meya Kumbilamoto
Dkt.Biteko:Wazazi msiwahusishe watoto kwenye migogoro yenu