Na Joyce Kasiki,timesmajira online ,Dodoma
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa jimbo Dodoma Mjini mwaka 2010-2015,Dkt.David Malole amechukua fomu tena akiombaridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),kugombea tena nafasi hiyo.
Dkt.Malole ameomba nafasi hiyo kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo.
More Stories
Prof.Muhongo awakaribisha wadau kuchangia ujenzi maabara masomo ya Sayansi
Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya madini
Matindi: Ufanisi utaleta matokeo chanya sekta ya anga