Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto leo Agosti 23, 2024 anashiriki Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia linalofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi-Zanzibar.

Kabla ya kushiriki Kongamano hilo, Dkt.Biteko alitembelea Mabanda ya Maonesho ya Wadau wa Sekta ya Nishati Safi ya Kupikia ambao wanatoa elimu ya matumizi ya nishati hiyo na teknolojia zake.

Kaulimbiu “Upishi Salama kwa Afya ya Mpishi na kwa Maendeleo ya Jamii”
More Stories
Kongamano la kimataifa la kusoma Qur’an kufanyika Mei 24,2025
KUTAMBUA WAHALIFU WANAOTUMIA MITANDAO YAKO YA KIJAMII BILA RIDHAA YAKO
Nafasi ya Tokeni ya Uthibitisho katika Usalama wa Mtandao