Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto leo Agosti 23, 2024 anashiriki Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia linalofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi-Zanzibar.

Kabla ya kushiriki Kongamano hilo, Dkt.Biteko alitembelea Mabanda ya Maonesho ya Wadau wa Sekta ya Nishati Safi ya Kupikia ambao wanatoa elimu ya matumizi ya nishati hiyo na teknolojia zake.

Kaulimbiu “Upishi Salama kwa Afya ya Mpishi na kwa Maendeleo ya Jamii”
More Stories
Bodi ya Wadhamini TANAPA yataka kasi zaidi ukamilishaji Miundombuni ya Utalii Mikumi
Yas yatoa huduma bure matibabu ya macho Tanga
Boshe:ALF imekutana kutambua Maendeleo Endelevu ya Bara la afrika