Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewasili mkoani Shinyanga akitokea jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi Desemba 29, 2023.

Alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kahama, Dkt. Biteko alipokelewa na viongozi mbalimbali wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM)mkoani Shinyanga akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Johari Samizi, Mbunge wa Ushetu, Emanuel Cherehani na Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba.


More Stories
Mkurugenzi Rapha Group aeleza fursa mashindano Tulia Marathoni
Prof.Muhongo amshukuru Rais Samia kwa fedha nyingi miradi ya elimu Musoma Vijijini
Rc Chalamila aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Charles Hilary