Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe 1 Aprili, 2024 ametembelea Kituo cha kuzalisha umeme cha Kidatu, wilayani Kilombero mkoani Morogoro kukagua matengezo ya Mitambo kufuatia hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya kufua umeme iliyosababisha athali kwenye Gridi ya Taifa iliyosababisha maeneo mengi ya Nchi kukosa huduma ya umeme.
Taarifa rasmi itawasilishwa




More Stories
Waislamu Mwanza wapokea Ramadhani kwa maandamano ya kidini
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo
TRA Tanga yakusanya bil.178.3 kwa miezi sita