Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Seriel Mchembe leo Mei 30 amepokea Mwenge wa Uhuru 2022, kijijini Kwa msisi Wilayani humo.

Ambapo amesema Mwenge ukiwa wilayani humo utazindua, kuweka mawe ya msingi na kukagua jumla ya miradi 8 yenye thamani ya Tshs Bilioni 2.2.
More Stories
Premier Bet yaendelea kudhamini ligi ya mpira wa Kikapu Dodoma
Kamati ya Bunge Yapokea Taarifa ya AFCON 2027
UDOM yaweka mkazo Ubunifu kukabili changamoto za Taifa