Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Seriel Mchembe leo Mei 30 amepokea Mwenge wa Uhuru 2022, kijijini Kwa msisi Wilayani humo.

Ambapo amesema Mwenge ukiwa wilayani humo utazindua, kuweka mawe ya msingi na kukagua jumla ya miradi 8 yenye thamani ya Tshs Bilioni 2.2.
More Stories
Senyamule:Serikali inapaswa kuzitambua Kampuni zinazofanya biashara ya ardhi
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150