Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Seriel Mchembe leo Mei 30 amepokea Mwenge wa Uhuru 2022, kijijini Kwa msisi Wilayani humo.

Ambapo amesema Mwenge ukiwa wilayani humo utazindua, kuweka mawe ya msingi na kukagua jumla ya miradi 8 yenye thamani ya Tshs Bilioni 2.2.
More Stories
Exim yaadhimisha miaka 29 yangu kuanzisha kwake
ONE GIRL PLUS yazinduliwa kuwafikia Watoto wa KikeÂ
Serikali yaridhishwa maandalizi NHIF kuelekea AFCON