Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Seriel Mchembe leo Mei 30 amepokea Mwenge wa Uhuru 2022, kijijini Kwa msisi Wilayani humo.
Ambapo amesema Mwenge ukiwa wilayani humo utazindua, kuweka mawe ya msingi na kukagua jumla ya miradi 8 yenye thamani ya Tshs Bilioni 2.2.
More Stories
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi
Waislamu Mwanza wapokea Ramadhani kwa maandamano ya kidini
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo