Juma la Pili la Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara, Mratibu wa Masoko, Chuo cha Elimu ya Biasha (CBE) Bi. Lilian Mashalo akiongea na baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Chuo leo Julai 08, 2024 kwa ajili ya kupata taarifa zaidi kuhusu huduma zinazotolewa na Chuo hicho.
More Stories
TMDA yajivunia kuanzisha mfumo thabiti wa udhibiti wa vifaa tiba na vitendanishi
Kikwete kuungana na marais watatu kushiriki Kongamano la nane la viongozi Afrika
Katavi yazindua kampeni kukabiliana na udumavu