Juma la Pili la Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara, Mratibu wa Masoko, Chuo cha Elimu ya Biasha (CBE) Bi. Lilian Mashalo akiongea na baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Chuo leo Julai 08, 2024 kwa ajili ya kupata taarifa zaidi kuhusu huduma zinazotolewa na Chuo hicho.
More Stories
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ashiriki ziara ya tume ya utumishi wa mahakama
Coca-Cola ‘chupa la machupa’ yapeleka ladha mpya Forodhani, Zanzibar
Prof.Mkenda:Elimu ya biashara somo la lazima kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne