Juma la Pili la Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara, Mratibu wa Masoko, Chuo cha Elimu ya Biasha (CBE) Bi. Lilian Mashalo akiongea na baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Chuo leo Julai 08, 2024 kwa ajili ya kupata taarifa zaidi kuhusu huduma zinazotolewa na Chuo hicho.
More Stories
Dkt.Mpango aagiza mfumo wa NeST utumike kudhibiti ubadhirifu,aipongeza PPRA
Mpogolo ashauri Ilala kutenga bajeti ya mazingira
DC Malisa ataka taarifa mahudhurio ya wanafunzi