Na Mwandishi Wetu
TONGA, Kimbunga kilichopewa jina la Harold kimesababisha maafa mbalimbali vikiwemo vifo vya watu 27 katika visiwa vya Pasifiki.
Kimbunga hicho ambacho kinaelezwa kwenda kwa kasi kubwa kinatajwa kusababisha uharibifu pia katika maeneo ya utalii Kusini mwa Pasifiki.
Aidha, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kupitia
msemaji wake, ametuma salamu zake za rambirambi pamoja na kusikitishwa kwake kutokana na kimbunga Harold ambacho kimezipiga nchi za visiwa vya Pacific na kusababisha vifo na uharibifu wa mali.
Kwa kina zaidi endelea katika Gazeti la Majira…
More Stories
CCM kusimamia kitabu cha Hayati Songambele kiingie mtaani
Mwendokasi kuendeshwa na ENG kwa miaka 12
Vitongoji 284 Arumeru Mashariki vyafikiwa na umeme