July 2, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Breaking News: Bilionea Manji afariki Dunia

Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mkurugenzi wa Kampuni ya Qualify Group LTD, Yusuph Manji, amefariki Dunia jana Jumamosi, Juni 29, 2024 huko Florida nchini Marekani alikokuwa akipatiwa matibabu.

Taarifa za kifo cha Manji zimethibitishwa na mtoto wake Mehbub Manji.

Taarifa zaidi kukujia…

CHANZO: MWANANCHI_OFFICIAL