Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Kampuni ya Panafrican Energy Tanzania Ltd katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Ujumbe wa Kampuni ya African Energy Tanzania Ltd umeongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Andrew Hanna ambapo viongozi hao pamoja na mambo mengine, wamejadili fursa za biashara na uwekezaji katika sekta ya gesi.
More Stories
Kituo cha afya Kisiwa cha Rukuba chafungiwa umeme jua kurahisisha huduma
Kapinga:Wakandarasi wasimamiwe kutekeleza miradi ya nishati kwa wakati
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi