
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online DSM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Balozi Siwa ameapishwa leo Agosti 28, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam akichukuwa nafasi ya Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.


More Stories
Doreen: ‘Msiwafiche watoto wenye utindio wa Ubongo
Serikali yawezesha miradi 80 kwa utaratibu wa PPP
Mpogolo akabidhi Cheti kwa wahitimu