
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online DSM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Balozi Siwa ameapishwa leo Agosti 28, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam akichukuwa nafasi ya Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.


More Stories
Kapinga :Vitongoji 82 Tarime vijijini kupelekewa umeme na mradi wa HEP IIB
Watanzania wana wajibu kuhakikisha urithi wa utamaduni wa Taifa unalindwa
Wananchi Dodoma waipa heko bajeti ya TAMISEMI