
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online DSM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Balozi Siwa ameapishwa leo Agosti 28, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam akichukuwa nafasi ya Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.


More Stories
Maadhimisho miaka 30 ya VETA kufanyika Dar
Wananchi waaswa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura
Nchi 28 Afrika zajadili mikakati kukabiliana na dawa,chanjo feki