Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online
ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, kuanza leo katika mikoa mitano huku mmoja ukiwa wa Kanda ya Kati na minne ikiwa katika Kanda ya kaskazini, yenye lengo la kufanya ukaguzi wa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa chama hicho ya mwaka 2020/2025.

Katika ziara hiyo Dkt. Nchimbi ataambatana na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla, pamoja na Katibu wa NEC – Mambo ya siasa na uhusiano wa kimataifa, Rabia Hamid.
Ziara hiyo itahusisha Mkoa wa Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na kumaliza katika Mkoa wa Tanga, Juni 9 2024.

l

More Stories
Mwenyekiti CCM, Mbunge Rorya wavuruga mafunzo ya makatibu
Serikali ,Washirika wa Maendeleo waweka mkakati utekelezaji Dira ya 2050
Dkt.Mpango aipongeza STAMICO kuwa mfano bora utekelezaji matumizi nishati safi ya kupikia