Na Ashura Jumapili, TimesMajira Online,Bukoba Askari watatu wa Jeshi la Hifadhi ya Taifa ( TANAPA ) wamefukuzwa kazi kwa tuhuma...
Judith Ferdnand
Na Heri Shaaban,Timesmajira Online,Ilala TIMU ya Kasulu FC ya Kata ya Ilala,mabingwa mashindano ya mpira miguu wa kombe la Khimji...
Na Mary Margwe, Timesmajira Online,Bahati Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga,amesema kwa mara ya kwanza Mkoa huo utaanza kutoa...
Na Mary Margwe, Timesmajira Online,Dodoma Mbunge wa Jimbo la Kiteto mkoani Manyara Edward Ole Lekaita ameiomba Serikali kupitia Wizara ya...
Judith Ferdinand, Timesmajira Online,Mwanza Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limetakiwa kuimarisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao ikiwemo...
Judith Ferdinand, Timesmajira Online, Mwanza Meli ya matibabu ya MV.Jubilee Hope katika kipindi cha miaka 10,imefanikiwa kutoa huduma za matibabu...
Judith Ferdinand, Timesmajira Online,Mwanza Watoto wawili wanafunzi wa shule ya mchepuo wa kiingereza Blessing Model,waliodaiwa kutekwa Februari 5,2025 na watu...
Judith Ferdinand,Timesmajira Online, Mwanza Adamu Kailanga(30), mfanyabiashara na Mkazi wa Mtaa wa Mkudi wilayani Ilemela mkoani Mwanza,anadaiwa kumuua mpenzi wake...
Judith Ferdinand, Timesmajira Online, Mwanza Wanafunzi wawili wa shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza Blessing Model iliyopo Nyasaka,Wilaya ya...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa...
