Na Heri Shaaban, Timesmajira Online-Dar-es-Salaam HALMASHAURI ya Jiji la Dar-es-Salaam kipitia Idara ya Elimu Msingi, wamegawa vifaa vya kwa wanafunzi...
Judith Ferdnand
Na Daud Magesa, Timesmajira Online-Mwanza BODI ya Pamba Tanzania (TCB),imeendelea kutoa elimu na kusambaza maarifa ya kilimo bora cha pamba...
*Waahidi kuwa mabalozi wa barabara katika jamii Judith Ferdinand Timesmajira Online-Dodoma Wanafunzi wa shule ya sekondari Kisasa wametembelea banda la...
Na Daud Magesa, Timesmajira Online-Mwanza Watanzania wamehimizwa kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) ili kuwa na...
Na Heri Shaaban,Timesmajira Online-Dar es Salaam) CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema wapo vitani kurejesha heshima ya kulinda kura na demokrasia...
Na Esther Macha Timesmajira Online-Mbeya HALMASHAURI ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, imesema kuwa uzalishaji wa mazao umekuwa ukiongozeka mwaka...
Na Esther Macha,Timesmajira Online-Iringa BODI ya Shirika la Kimataifa la Helen Keller limefika kituo cha afya Isimani wilaya ya Iringa...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa...
*Yaombwa kupanua wigo mfumo wa maji taka *MWAUWASA yasisitiza ulipaji ankra za maji Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza Baadhi ya wananchi...
Na Allan Kitwe, Timesmajira Online -Tabora Zoezi la upigaji kura za maoni kwa watia nia wa nafasi ya Ubunge na...
