Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Vijana na Ajira Patrobass Katambi Alipotembelea banda la shirika la Amref Tanzania katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi, katika wiki ya maadhimisho kuelekea siku ya UKIMWI duniani. Kwa miaka zaidi ya thelathini (30) sasa, shirika la Amref limekuwa likishirikiana na serikali ya Tanzania pamoja na wadau wengine kuboresha mifumo ya afya nchini. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Vijana na Ajira Patrobass Katambi akiwa katika banda la wasichana balehe na wanawake vijana (AGYW) waliochini ya program ya Global Fund Timiza Malengo na kujionea shughuli zinazofanywa na vijana hao katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi, katika wiki ya maadhimisho kuelekea siku ya UKIMWI duniani. Kupitia programu ya Global fund wasichana balehe na wanawake vijana hunufaika na program hii kwa kupewa elimu ya mabadiliko ya tabia na kuanzishiwa miradi ya ujasiriamali ili kuepuka vishawishi vitakavyowaweka katika hatari ya kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Post Views: 193 Continue Reading Previous Watatu wafariki ajalini MwanzaNext Waziri Mkuu Majaliwa atembelea banda la Amref More Stories 2 min read Habari Uboreshaji hospitali, kumepunguza rufaa kwa wagonjwa September 19, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari DC Mpogolo atangaza kiama wasio rudisha Bil.17 za Halmashauri September 19, 2024 Jackline Mkota 1 min read Habari Watumishi TASAF washiriki Mkutano wa Ufuatiliaji na Tathimini Zanzibar September 19, 2024 reuben kagaruki
More Stories
Uboreshaji hospitali, kumepunguza rufaa kwa wagonjwa
DC Mpogolo atangaza kiama wasio rudisha Bil.17 za Halmashauri
Watumishi TASAF washiriki Mkutano wa Ufuatiliaji na Tathimini Zanzibar