Na Mwandishi wetu,TimesMajira,Online
CHAMA cha Act Wazalendo kimeanza maandalizi ya Mkutano Mkuu wa kupitisha wagombea wa ngazi mbalimbali kwa ajili ya kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Kamati Kuu ya ACT Wazalendo inakutana leo jijini Dar es Salaam kwenye kikao cha maandalizi ya Mkutano Mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 5, mwaka huu.
Chana hicho kimejidhatiti kusimamisha wagombea katika ngazi zote za urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mgombea urais wa Zanzibar, wawakilishi, wabunge na madiwani.
More Stories
TAMISEMI yaomba kupitishiwa bajeti ya shilingi Trilioni 11.78
Sekiboko ahimiza uwekezaji Elimu ya ufundi
CAG alivyoibua madudu mashirika ya umma