Mgombea ubunge Jimbo la Ukonga Jerry Silaa akizungumza na wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kueleza sera zake zake na kuzitekeleza mara atakapochaguliwa.
Mgombea ubunge Jimbo la Ukonga Jerry Silaa akizungumza na wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kueleza sera zake na kuzitekeleza mara atakapochaguliwa.Kikundi cha akina mama wa Sauti ya Jamii Kipunguni wanaojishughulisha na ujasiriamali, pamoja na kuelimisha madhara ya vitendo vya ukeketaji wakielezea jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala mbele ya mgombea ubunge Jimbo la Ukonga Jerry Silaa .Mpigapicha Wetu
More Stories
Wajenga nyumba ya watumishi kwa mapato ya ndani
Sangu: Michango ya Hifadhi ya Jamii ni Haki ya Msingi ya Mfanyakazi
Falsafa ya 4R Ya Rais Samia, yaongeza Ushirikiano wa Tanzania,China