Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akimsalimia Mama Maria Nyerere,wakati alipomtembelea, nyumbani kwake Butiama,akiwa kwenye kampeni ya CCM mkoani Mara, Septemba 19, 2020.
Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akimsalimia Mama Maria Nyerere,wakati alipomtembelea, nyumbani kwake Butiama,akiwa kwenye kampeni ya CCM mkoani Mara, Septemba 19, 2020.Mjumbe wa Kamati Kuu,Kassim Majaliwa,akisalimiana na Mtoto wa Hayati Julius Nyerere,Madaraka Nyerere,wakati alipowatembelea, nyumbani kwa Butiama, akiwa kwenye kampeni ya CCM mkoani Mara, Septemba 19, 2020. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akizungumza wananchi wa Butiana, katika mkutano wa kampeni, Septemba 19, 2020.
More Stories
Ubunifu wawekwa mbele katika mpango mpya wa Taifa
Ubunifu mwanafunzi UDOM kusaidia Walimu kazini
Sendiga:Wataalamu wekeni maslahi ya Wananchi mbele