Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Balozi Omar Ramadhan Mapuri, leo Agosti 5, 2025 ametembelea na kukagua mafunzo kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi katika Halmashauri za Wilaya ya Sengerema na Misungwi jijini Mwanza.Ziara hiyo ni sehemu ya maandalizi ya INEC kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, ikiwa na lengo la kuhakikisha ufanisi na uwajibikaji wa watendaji wa uchaguzi nchini kote.




More Stories
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8
Serikali yaongeza nguvu kwa wachimbaji wadogo,yasisitiza usalama Migodini