March 7, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

INEC yafanya Mkutano na Wawakilishi wa Watu wenye Ulemavu kuhusu maandalizi ya Uchaguzi Mkuu 2025

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji (Rufani), Mhe. Jacobs Mwambegele akizungumza katika Mkutano wa Tume na Wawakilishi wa Watu wenye Ulemavu, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, Julai 31, 2025. Picha na INEC.

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima akiwasilisha mada ya Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, katika Mkutano wa Tume na Wawakilishi wa Watu wenye Ulemavu, uliofanyika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, Julai 31, 2025.