Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Mwenyekiti wa Shina la JPM lililopo kata ya Kariakoo na Mjumbe wa Baraza kwenye Jumuiya ya Wazazi Kata ya Kariakoo,Rashid Kilua amechukua na kurudisha Fomu ya Ubunge Jimbo la Bumbuli wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga.
Kilua ni mjasiriamali wa Kariakoo na mdau wa Maendeleo kwenye mambo ya kijamii.




More Stories
Mifumo miwili yazinduliwa kilele wiki ya Utumishi
Kampuni za Algeria zasaka wabia wa biashara nchini
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, yasogeza huduma kwa wananchi