March 7, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Salmini ajitosa rasmi kugombea udiwani kata ya Mwembesongo

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti Chipukizi (CCM) wilaya ya Morogoro Mjini na Mjumbe wa Baraza Kuu (Uvccm) Taifa – Kuiwakilisha Chipukizi,Salmini Nchimbi amechukua fomu leo ya kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mwembesongo,wilaya ya Morogoro Mjini Mkoa wa Morogoro.

Salmini ni miongoni mwa vijana wachache walioamua kugombea nafasi hiyo katika Kata ya Mwembesongo.