

Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online.
NDEGE iliyobeba mwili wa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais (Mstaafu), Hayati Cleopa Msuya, ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) majira muda huu.
Hayati Msuya aleiyefariki Mei 7, 2025 katika Hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam, ataagwa leo na wananchi wa Mwanga, ambapo baada ya kumalizika kwa shughuli za kuagwa, mwili utapelekea nyumbani kwake Usangi kwa ajili ya mazishi kesho Mei 13, 2025.
More Stories
Wanawake watakiwa kutochafuana kuelekea uchaguzi mkuu
Serikali Kuboresha Elimu ya Ufundi: Shule 55 Kubadilishwa Kuwa Sekondari za Amali
Serikali kutoa Elimu ya mitaala mipya