Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza S. Johari tarehe 11 Mei, 2025 ameungana na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Wananchi kushiriki kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati, Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa Hayati Msuya.



More Stories
Miaka 50 ya TET, waanza kupanda miti
Mwili wa Hayati Msuya wawasili Uwanja wa Ndege wa (KIA)
Dkt. Biteko avutiwa mwitikio Tulia marathon