Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza S. Johari tarehe 11 Mei, 2025 ameungana na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Wananchi kushiriki kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati, Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa Hayati Msuya.




More Stories
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako
TTCL yaadhimisha siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI
Wananchi Dodoma washauri TBA kujenga nyumba za kupangisha watu binafsi