Picha za matukio mbalimbali zikionesha mapokezi makubwa ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu akiingia Jiji la Mwanza kutokea Uwanja wa Ndege wa Kimafaifa wa Mwanza kuelekea Uwanja wa Furahisha, leo Septemba 1, 2020.
More Stories
Mkuu JKT aishukuru Serikali kuboresha miundombinu makambi ya vijana
Matokeo Uchunguzi wa sampuli kulinda afya za wananchi
Dkt.Yonanzi akutana na uongozi wa TECDEN