Baada ya kutumia magongo kwa takribani wiki sita, kiungo wa Yanga Mapinduzi Balama anaendelea vizuri sasa akianza kutembea kawaida.
Balama alipata majeraha ya kuteguka mguu katika maandalizi ya mechi za mwisho mwisho kukamilisha msimu uliopitaNyota huyo ameanza mazoezi ya kuutembelea mguu wake uliopata majeraha ikiwa ni hatua nzuri kuelekea kuanza mazoezi kamili

Hii ni habari njema kwa Yanga kwani anaweza kurejea kikosini mapema zaidi kuliko ilivyodhaniwa awali
More Stories
Bahati Nasibu ya Taifa, Selcom zashirikiana ununuzi wa tiketi
Bahati Nasibu ya Taifa, Vodacom zashirikiana kurahisisha miamala kidijitali
Bahati Nasibu ya Taifa, Shirika la Posta washirikiana