Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Amos Lengael Nnko, ameaga Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo ya gari imepelekea kifo cha binti yake, Maureen Nnko, huku mke wake, watoto wawili na mwanafamilia mmoja wakipatiwa matibabu katika hospitali ya KCMC na Mawenzi.

More Stories
TMA yatoa utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo
Kuhifadhi Nywila (Password) Kwenye Simu na Hatari iliyopo ndani yake
Tanzania yazidi kujiimarisha uhifadhi wa urithi wa utamaduni na historia