Na Mwandishi Wetu
KIKAO cha Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea vizuri kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Kuanza kwa kikao hicho ni hatua ya kwanza ya mchakato wa kumtafuta mgombea urais atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba, mwaka huu.


Kesho Agosti 3, kitafanyika kikao cha Baraza Kuu mkutano ambao utahudhuriwa na wajumbe 600 na keshokutwa Agosti 4, ni Mkutano Mkuu ambao wajumbe wake ni 1,500.

More Stories
Ubunifu wa Viwanda wazalisha ajira 220 Arusha
Serikali yaongeza mapambano dhidi ya Lumbesa Nchini
TIRDO kuboreshwa kuchochea mapinduzi ya Viwanda