Juma la Pili la Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara, Mratibu wa Masoko, Chuo cha Elimu ya Biasha (CBE) Bi. Lilian Mashalo akiongea na baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Chuo leo Julai 08, 2024 kwa ajili ya kupata taarifa zaidi kuhusu huduma zinazotolewa na Chuo hicho.
More Stories
Masauni afanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya NEMCÂ
Waumini Kanisa la KKAM waipeleka Mahakamani bodi ya wadhamini KKKT
Mjumbe UWT Taifa awataka vijana kutokubali kutumika kuvuruga amani