October 6, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Mhandisi kugombea Ubunge Viti Maalum Mbeya

KINYANG’ANYIRO cha uchukuaji fomu kwa wanawake kinaaendelea ambapo Mhandisi Maryprisca Mahundi amechukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya.