Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakati wakitembelea mabanda mbalimbali ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024. Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali kabla ya kufungua Rasmi Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali walioshiriki hafla ya ufunguzi wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024. Post Views: 106 Continue Reading Previous Watoa huduma watakiwa kutembelea Banda la FCC kupata elimuNext Wananchi Katavi watakiwa kutumia uhuru wa kujieeza kwa maendeleo More Stories 2 min read Habari 282,wafanikiwa kujiunga na mfumo rasmi wa elimu October 5, 2024 Judith Ferdnand 1 min read Habari Diwani Cheka awataka waumini wa Anglikana kuendeleza Amani October 5, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari Serikali ya Mtaa Kalume wachanga Mil. 1 fomu ya Rais Samia October 5, 2024 Jackline Mkota
More Stories
282,wafanikiwa kujiunga na mfumo rasmi wa elimu
Diwani Cheka awataka waumini wa Anglikana kuendeleza Amani
Serikali ya Mtaa Kalume wachanga Mil. 1 fomu ya Rais Samia