October 6, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

MC, Mwandishi maarufu Mbeya ajitosa Ubunge

Mwanahabari Charles Mwakipesile (kulia) akikabidhi fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini anayepokea (kushoto) ni Katibu wa Wilaya CCM, Gervas Ndaki