Na Joyce Kasiki,timesmajira online ,Dodoma
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa jimbo Dodoma Mjini mwaka 2010-2015,Dkt.David Malole amechukua fomu tena akiombaridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),kugombea tena nafasi hiyo.

Dkt.Malole ameomba nafasi hiyo kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo.
More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an